Header Ads

  • Jinsi Ya Kuzuia Mtu Kujua Kama Umesoma Ujumbe Wake Katika Whatsapp (zuia tiki za bluu)

    zuia tiki za bluu

    Jinsi ya kumzuia mtu kujua kama umesoma ujumbe aliokutumia ni rahisi sana fanya yafuatayo:-



    • Fungua Whatsapp yako
    • Nenda kwenye Setting
    • chagua Account
    • chagua Privacy
    • Kisha tazama eneo la chini kuna sehemu imeandikwa "Read receipts"

              halafu mbele yake kuna tiki, ondoa hiyo tiki kwa kuibonyeza.

    • kwa kufanya hivyo utakua umefanikiwa kuzuia mtu yeyete atakaekutumia 

              ujumbe kujua kama umeusoma kwa sababu hata ukisoma kwake tiki za bluu
              hazitaonekana.

    No comments